Savanis
Bookshop
Home
Blog
Departments
Computer Science and Engineering
Civil Engineering
Machanical engineering
EEE
BBA
Literature
Others
Text book centre buy now
Uncategorized
Manga Books
Books
Login
Mfalme amesimika mkuki wake hapa name nikausimika wangu kando yake, baadaye hatukuitambulisha tena. jibu Kohozi
Enter kitendawili
Related vitendawili na majibu yake
Mchana ‘ti’ usiku ‘ti’. jibu Mlango
Afahamu kuchora lakini hajui achoracho. jibu Konokono
Kuna mlima mmoja usio pandika. jibu Nafasi kati mdomo na pua
Kisima kidogo kimejaa changarawe. jibu Kinywa na meno
Watu ishirini walipanda juu ya mti, wawili wakaona chungwa, watano wakalichuma, kumi wakalimenya, wote wakaridhirika mtu mmoja alile. Je, ni watu gani hao? jibu Waliopanda ni vidole vya miguu na mikono, walioona ni macho mawili, waliochuma ni vidole vitano vya mikono, waliomenya ni vidole vya mikono yote miwili, na aliyelila ni mdomo
Mlima umezuia kutazama kwa mjomba. jibu Kisogo
Nimekata mti, akaja samba mwekundu akaukalia. jibu Utomvu
Dada yangu kaoga nusu. jibu Jiwe mtoni
Haoni kinyaa. jibu Mvua
Kilimsimamisha chifu njiani. jibu Chawa