Savanis
Bookshop
Home
Blog
Departments
Computer Science and Engineering
Civil Engineering
Machanical engineering
EEE
BBA
Literature
Others
Text book centre buy now
Uncategorized
Manga Books
Books
Login
Nyumba yangu kubwa, haina taa. jibu Kaburi
Enter kitendawili
Related vitendawili na majibu yake
Nilipoangalia kwenye magereza ya Wazungu, nikaona wameketi juu ya mabati. jibu Pelele
Naitumia ngazi hiyo kwa kupandia na kushukia. jibu Mwiba
Babu anakula ng’ombe, analea fupa linakuwa ng’ombe. jibu Muwa
Kisima cha Bimpai kina nyoka muwai, ndiye fisadi wa maji. jibu Taa ya utambi
Sina dada wala kaka, lakini baba wa huyu jamaa ni mtoto wa babangu. Ni nani huyo? jibu Mtoto wangu
Nilipoingia Rumi, alitoka mtu na wake kumi; kila mke na tundu kumi, kila tundu na kuku kumi; kila kuku na mayai kumi. Mayai, kuku, tundu, wake, kumi kumi kumi. Wangapi walikwenda Rumi? jibu Hakuna
Likienda hulia, likirudi halilii. jibu Debe aka buyu
Kiwanja kizuri lakini hakifai kuweka mguu. jibu Kipara
Mvua kidogo ng’ombe kaoga kichwa. jibu Jiwe
Kila mtu hata mfalme huheshimu akipita. jibu Mlango