Kiswahili Kwa Darasa la 7 Mwalimu By Watuha

by sava in Text book centre buy now Publishered by: sava

Kiswahili Kwa Darasa la 7 Mwalimu By Watuha Details


Hii ni seti ya vitabu iliyojikita kwenye silabasi mpya ya shule za msingi na kunuiwa kuwasaidia wanafunzi kuongeza ujuzi wao wa lugha ya Kiswahili. Kila kitabu ni zao la utafiti wa kina wa mahitaji ya wanafunzi wa Kiswahili na kinakidhi matakwa yote ya lugha kwa kiwango husika.

ISBN: 9966445404 SKU: 2010127000138