Kurunzi ya Insha Darasa la 6, 7 & 8 By Mwamburi

by sava in Text book centre buy now Publishered by: sava

Kurunzi ya Insha Darasa la 6, 7 & 8 By Mwamburi Details


KCPE Kurunzi ya Insha Darasa la 6,7 na 8 ni kitabu kinachofumbua fumbo ambalo limempiga chenga mwanafunzi wa darasa la 6, 7 na 8 kwa muda mrefu. Kitabu hiki ni mwangaza unaompa mwanafunzi ujuzi na upevu wa kuandika kila aina ya insha kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya 2002. Kitabu hiki ni kito kwa mtahiniwa anayejiandaa kuukabili mtihani wa KCPE kwa kumdondolea hoja muhimu pekee, kumtathmini na kumwelekeza jinsi ya kuandika tungo maridhawa na zinazovutia ili azoe alama nyingi zaidi anapoandika insha.   

ISBN: 9966002529 SKU: 2010127000477