Tadubiri za Insha darasa la 6:Mbinu na mapambo. By

by sava in Text book centre buy now Publishered by: sava

Tadubiri za Insha darasa la 6:Mbinu na mapambo. By Details


Tadubiri za Insha: Mbinu na Mapambo, Darasa la 6 ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na ubunifu wa hali ya juu kwa madhumuni ya kukidhi mahitaji ya wanafunzi na walimu katika shule za msingi - darasa la sita. Lugha iliyotumika ni rahisi kueleweka na wanafunzi wote kutoka mazingira mbalimbali.Waandishi wa kitabu hiki ni walimu stadi wenye tajriba pana ya kufundisha na kutahini Kiswahili - ngazi ya KCPE kwa miaka mingi. Wameangazia kwa undani na kwa mapana na marefu mikakati, mbinu, taratibu, dhana, kunga, miundo, mapambo na vipengeleyinginevyo muhimu katika uandishi wa insha za kuvutia na za kuzoa alama za juu zaidi. Hii ni kwa kuhakikisha kwamba kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kuandika insha kwa namna na mtindo faridi wenye mnatowakipekee.Mifano kadha ya insha mbalimbali imetolewa katika kitabu hiki ili kurahisisha uelewaji wa maelezo yaliyomo na pia kushadidia hoja muhimu.

ISBN: 9789966310644 SKU: 2010127000598