Kamusi Elezi ya Kiswahili (JKF) By JKF

by sava in Text book centre buy now Publishered by: sava

Kamusi Elezi ya Kiswahili (JKF) By JKF Details


Kamusi Elezi ye Kiswahili ni kamusi ya kisasa iliyoandikwa kwa ufindi wa kipekee na iliyo na maelezo ya vidahizo, Na kamusi iliyofungamana na hatua za kimaendeleo katika taaluma ya lugha ya Kiswahili na fasihi yake Itawafaa wataalamu, wanafunzi na walumizi wengine wa lugha ya Kiswahili. NI kamusi yenye upeo wa kimataifa. Licha ya maneno, semi na maelezo yake, ina vielezo vya michoro na matamshi ya vidahizo

Site kuu za Kamusi Elezi ya Kiswahlli • Vidahizo vipatavyo 45,000 • Maneno mapya yapatayo I.000 • Jopo la wataalamu wenye tajiriba kutoka Kenya. Tanzania na Japani • Matamshi murua kifonetiki: kulingana na alfabeti ya kifonetiki ya kimataifa • maelezo kamilifu ya kidahizo bila kutengemea visawe• Ufafanuzi wa kipekee wa methali, misemo na nahau • Kuhusishwa kwa dhana mpya za teknolopa na sayansi • msamiati mpya wa samaki na vyombo vya bahari • Mifano mwalaka yenye kushadidia maana • michoro na picha maridhawa zinazooana na maelezo

ISBN: 9789966510563 SKU: 2010127000655