Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1 By a href="/search/?q=Francis%20Waititu&am

by sava in Text book centre buy now Publishered by: sava

Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 1 By a href="/search/?q=Francis%20Waititu&am Details


Kiswahili Dodisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipyo vilivyoandikwa kwo upekee iti kutosheleza mahitaji ya mtaloo mpyo wa Umilisi. Vitabu Finn vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahomu we Lugha kupitio stadi za kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuzo umitisi uliopendekezwa. maadili no kufahamisha kuhusu masualaibuka. 

Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha. Kitabu cha Mwanafunzi. Gredi utapata:

  • made zilizopangwo kwa kuzingatio muainisho wa mtalaa mpya 
  • mifano halisi ya miktodho ambapo Lugha hutumika 
  • mazoezi nje ya darasa iii kuendeteza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli zo kijamii zinazokuza ujifunzaji
  • mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja 
  • jinsi ya kuwashirikisha wazazi no walezi iii kuimarisha uwajibikaji. 
ISBN: 9780195746822 SKU: 2010127000701